Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Chanjo ya Corona: Nini kitahitajika kwa bara hili kuanza kutengeneza chanjo zake?
Iliyochapishwa
Afrika bado inakabiliwa na janga la awamu ya tatu la ugonjwa wa corona , huku maradhi mengi yakiripotiwa.
Lakini bara hili limepokea chanjo asilimia 3 pekee ya idadi ya watu wake, kwasababu bara hili awali limetegemea kupata chanjo hizo kutoka nje.
Hivyobsi tunauliza ni nini kitahitajika kwa bara hili kuanza kutengeneza chanjo zake?