Miaka 100 ya Chama cha Kikomyunisti China: Je chama hiki kilipataje madaraka?

Iliyochapishwa

Ifikiapo mwezi Julai , chama cha kikomyunisti cha China kitakuwa kikisherehekea miaka 100 tangu kilipoanzishwa.

Sera yake chini ya utawala wa Mao Zedong ilisababisha njaa na ghasia miaka ya 1950 na sitini .

Kifo chake kilisababisha muamko mpya – kupitia kizazi kinachoonesha picha za taifa hilo za China mpya huku ikiendelea kupiga hatua.

BBC ilizungumza na mtu mwenye sifa nyingi kuhusu mabadiliko makubwa alioyaona kufikia sasa.