Caitríona Lagan: "Nacheza vyombo vyote katika bendi yangu ya muziki ya Ireland"

Maelezo ya video, "Ninacheza vyombo vyote bendi yangu ya muziki ya Ireland"
Iliyochapishwa

Caitríona Lagan alianza kuweka mtandaoni video zake akicheza ala tano za muziki - banjo, mandolin, fiddle, guitar na mandola – kwa pamoja, wakati wa Lockdown.

Msichana huyo mwenye umri wa miaka 15 kutoka Londonderry, Kaskazini mwa Ireland,alikuwa akitarajia video zake zitawafurahisha watu wakati wa janga la corona na zimepokelewa vizuri.