Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ellen Johnson Sirleaf: Samia Suluhu Hassan atarajie upweke kama rais wa pekee wa kike Afrika
Iliyochapishwa
Aliyekuwa Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf kwa mara ya kwanza amezungumza kuhusu rais wa Kike na wa pekee barani Afrika Samia Hassan Suluhu akisema kwamba atarajie upweke.
Amesema kwamba japo Samia atakaribishwa katika familia ya viongozi unatazamwa na wanaume kama mtu ambaye alitumia nguvu kuingia katika eneo lao