Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kifo cha Rais Magufuli: Rastafari wa Mwanza wamfanyia ibada kiongozi huyo wa Tanzania
Iliyochapishwa
Rastafari wa Mwanza wenye itikadi za kipekee wamefanya ibada maalumu ya kumuombea hayati Rais John Pombe Magufuli wakisisitiza alikuwa ni shujaa
Vilevile wamemuombea Rais Mpya Samia Hassan Suluhu hekima ya kutimiza kwa ukamilifu na uadilifu majukumu yake na kuendeleza mema yote yaliyo achwa na mtangulizi wake.