Kifo cha rais John Pombe Magufuli: Waumini wa kanisa la Chato wazungumza kuhusu kiongozi h

Maelezo ya video, Kifo cha rais John Pombe Magufuli: Waumini wa kanisa la Chato wazungumza kuhusu kiongozi h
Iliyochapishwa

'Tutamkumbuka Maguli kwa namna alivyo onesha kumkimbilia Mungu" waumini wenzake wa parokia alipokua akisali nyumbani kwao Chato wamlilia na kumuombea.