Wanaume wa Tanzania wanaonyonya maziwa ya mama anayenyonyesha wazungumza

Iliyochapishwa

Baadhi ya wanaume wa Tanzania wanaonyonya maziwa ya wake zao 'kukata uchovu wa pombe' wamezungumza na mwandishi wa BBC Hamfrey Mgonja wakisema yana faida kwao, lakini je wataalamu wanasemaje juu ya hili?.