Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Lawama zamuendea Kabila baada ya spika kuondolewa
Iliyochapishwa
Spika wa bunge la DRC Jeanine Mabunda ameondolewa katika nafasi yake baada ya wabunge kupiga kura ya maoni dhidi yake iliyowasilishwa bungeni na upinzani.
Miongini mwa wabunge 484 katika Bunge hilo kura 281 zilisema kwamba kiongozi huyo wa muhimili huyo aondoke katika nafasi yake
Mwanasiasa Justin Bitakwira ambaye zamani alikuwa chama cha Kabila, anatoa maoni yake juu ya kile kilichosababisha chama cha Rais wa Zamani chenye idadi kubwa ya wabunge Bungeni kushindwa kumuunga Mkono Spika Huyo wa Bunge.