Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 90 awa mtu wa kwanza kupewa chanjo ya corona Uingereza
Iliyochapishwa
Huu ni dio wakati Margaret Keenan, ambaye atafikisha miaka 91 wiki ijayio, alipokuwa mtu wa kwanza duniani kupewa chanjo ya corona iliyotengezwa na Pfizer/BioNTech nje ya kipindi cha majaribio.Uingereza ni nchi ya kwanza duniani kuanza kutumia chanjo ya Pfizer baada ya mamlaka ya kudhibiti dawa nchini humo kuiidhinsha wiki iliyopita. Ina mpango kuwapa chanjo watu waliyo na miaka Zaidi ya -80 na baadhi ya wahudumu wake wa afya lakini haijathibitisha hilo kwasababu chanjo hiyo inahitaji kuhifadhiwa kwa njia maalum.