Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
FBI limesema Nigeria ni kitovu cha shughuli za utapeli kwa njia ya barua pepe
Iliyochapishwa
Ulaghai wa BEC au biashara ya utapeli wa barua pepe ni moja wapo ya aina ya shambulio la kimtandao, ambalo FBI inasema inagharimu karibu dola bilioni 9 kwa mwaka - na wataalam wanasema Nigeria ndio kitovu chake.
BBC imezungumza na tapeli mmoja wa BEC nchini Nigeria ili kujua jinsi wanavyofanya kazi, na anahisije kuhusu watu wanaowalaghai.