Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tetemeko la ardhi Uturuki: Tazama Mtoto wa miaka mitatu alivyookolewa baada ya saa 65
Iliyochapishwa
Mtoto wa miaka mitatu aliyekuwa amekwama ndani ya kifusi cha jengo lililoporomoka kwa karibu siku tatu baada ya tetemeko la ardhi nchini Uturuki ameokolewa. Waokoaji wamekuwa wakitatufuta manusura zaidi wa tetetmeko hilo kubwa zaidi kukumba mji wa badari wa Izmir siku kadhaa zilizopita.