Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wazazi wanasema nini kuhusu usalama wa wanafunzi wanaporejea shuleni Kenya?
Iliyochapishwa
Maswali ya wazazi yamejibiwa? Wazazi wanaridhika na hatua zilizowekwa za kulinda watoto wa shule kutokana na janga hilo? kuna wasiwasi gani? Je! Wazazi wako tayari kurudisha watoto wao shuleni? Mwanaharakati Okiyah Omtata alikwenda kortini kupinga maagizo ya Waziri Magoha