Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Tanzania 2020: Ni namna gani ninaweza kupiga kura
Iliyochapishwa
Wakati Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi mkuu baadae mwezi Oktoba, tunaangazia namna ambavyo wapiga kura watapitia mchakato wa upigaji kura na yale yanayopaswa kufanywa ili kufanya kura kuwa na uhalali. Video na Aboubakar Famau, Anthony Irungu na George Wafula.