Mafanikio na changamoto ya 'Elimu bila ada Tanzania'
Iliyochapishwa
Serikali ya Tanzania chini ya rais John Magufuli ilipitisha waraka wa Elimu Namba 6 wa Mwaka 2015 kuhusu utekelezaji wa elimu bure kwa shule sekondari.
Waraka huo ulioanza kutekelezwa Januari 2016 umechangia kuinua sekta ya elimu na kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza licha ya changamoto kadhaa kujitokeza.
Awali elimu ya msingi ilikuwa ni bure huku shule za secondari ilipiwa ada kiasi cha dolla 17.