Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Tanzania 2020: Mgombea wa Urais kupitia CHAUMMA azindua kampeni
Iliyochapishwa
Chama cha Ukombozi wa Umma( CHAUMA) kimezindua rasmi kampeni zake leo na kuahidi kuhakikisha wanashughulikia mpango wa watoto kupata chakula mara tu watapoingia madarakani.
Mgombea wa nafasi ya Urais wa chama hicho, Hashim Rungwe alipokuwa akinadi sera zake na kusema kipaumbele chake ni mpango wa watoto kupata chakula.