Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Amri ya kukaa nyumbani inawalazimisha waalimu kuchuuza mitaani
Iliyochapishwa
Wakati Uganda ilipotangaza amri ya kukaa nyumbani na kufunga shule, waalimu wengi wa shule za binafsi hawakuwa wanalipwa tena mishahara yao. Wengi walilazimika kutafuta ajira mbadala, kama vile kuuza bidhaa mitaani (umachinga). Hata hivyo kazi hiyo haikosi changamoto.