Mchimbaji Saniniu Laizer auza jiwe jingine kwa serikali ya Tanzania

Maelezo ya video, Bilionea Laizer auza jiwe jingine kwa serikali ya Tanzania
Iliyochapishwa

Mchimbaji wa madini ameuza jiwe la pili kwa ukubwa, lenye uzito wa kilo 6.33 lililochimbwa na mchimbaji mdogo Saniniu Laizer.