Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Anthony Mmesoma Madu, mcheza densi wa miaka 11 aliyevutia mioyo ya watu mtandaoni
Iliyochapishwa
Video ya Anthony Mmesoma Madu mwenye umri wa miaka 11 iliyosambaa mitandaoni iliomuonyesha akicheza densi ya ballet kwenye mvua.
Video hiyo imesambazwa mitandaoni na nyota wa Hollyhood Viola Davis na wasanii wengine. Anthony ni miongoni mwa wanafunzi 12 wa shule ya Leap of Dance Academy jiji Lagos, Nigeria.
Shule ya Leap of Dance Academy ilianzishwa mwaka 2015 na Daniel Ajala Owoseni na amekuwa akiyatoa mafunzo ya ballet bila malipo kwa wanafunzi wake.