Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kumbukumbu ya miaka 10 baada ya shambulio la kigaidi Uganda
Tarehe 11 mwezi wa Julai wakati mamia ya mashabiki wa soka nchini Uganda walikuwa wamefurika kwenye uwanja wa raga wa Kyadondo mjini Kampala kutazama mechi ya fainali ya kombe la dunia iliyochezwa uwanja wa Soccer City mjini Johnnesburg, kati ya Uhispania dhidi ya Uholanzi.
Kulisikika mlupiko mkubwa, idadi ya watu waliokuwa wamekusanyika wasijue nini kimewakodolea macho.
Kundi la wanamgambo la Al-Shabaab lilikuwa limetekelza shambulizi ambapo watu zaidi ya 70 walikufa huku wengine wengi wakijeruhiwa.
Miaka 10 baadae, BBC imezungumza na baadhi ya waliojeruhiwa kwenye mkasa huo. Sikiliza.