Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Matumizi makubwa ya nguvu za polisi na athari zake
Iliyochapishwa
Africa Eye inafanya uchunguzi athari zilizotokana na virusi vya corona katika kitongoji cha Mathare, moja kati ya makazi duni nchini Kenya.
Wakati maambukizi yakiendelea kushika kasi, vitendo vya polisi kutumia nguvu vimesababisha vurugu na vifo.
Mwandishi wa habari Elijah Kanyi anauliza : Je tiba inaua kuliko virusi?