Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Shule zinachukua tahadhari gani wakati wanafunzi wanapoanza tena masomo?
Iliyochapishwa
Wanafunzi wa kidato cha sita nchini Tanzania ambao wanakaribia kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari wanaanza masomo yao hii leo
Hatua ya kurejea shuleni ilitangazwa na Rais John Magufuli baada ya kuonesha kuridhishwa na mwenendo wa ugonjwa wa corona nchini Tanzania, akisema kuwa kasi ya maambukizi imeshuka.
Wakati wanafunzi wakirejea shuleni, tahadhari imeendelea kutolewa kwa wanafunzi kufuata taratibu ili kuepuka maambukizi ya Covid-19.
Unaweza kusoma