Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya
Iliyochapishwa
Mbunifu kutoka Kenya mwenye umri wa miaka tisa amevumbua njia ya kijanja na ya kipekee ya kunawa mikono, ambayo inapunguza kusambaa kwa virusi vya corona.