Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Je dunia imejindaaje baada ya Spanish Flu kuwaua mamilioni?
Iliyochapishwa
Wakati dunia ikikabiliana na mlipuko wa Covid-19, uliosababishwa na aina mpya virusi vya corona, mlipuko huu unalinganishwa na janga kubwa la awalikuanzia 1918, lililoitwa Spanish Flu. Lakini je ni nini kilichobadilika tangu wakati huo?.