Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
Iliyochapishwa
Rais wa Marekani Donald Trump alisema utafiti ufanyike kubaini ikiwa virusi vya corona vinaweza kutibiwa kwa kudunga binadamu sindano za kemikali za kuua vimelea vya virusi na bakteria.
kuna ukweli kuhusu hili?