Virusi vya corona: Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu Watanzania?
Iliyochapishwa
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wanasema kuwa sasa hofu imeanza kupungua, tofauti na wakati mlipuko wa virusi vya corona ulipoingia nchini.
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wanasema kuwa sasa hofu imeanza kupungua, tofauti na wakati mlipuko wa virusi vya corona ulipoingia nchini.