Virusi vya corona: Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu Watanzania?

Maelezo ya video, Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli ilivyowaondolea hofu baadhi ya watanzania
Iliyochapishwa

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wanasema kuwa sasa hofu imeanza kupungua, tofauti na wakati mlipuko wa virusi vya corona ulipoingia nchini.