Virusi vya Corona: Jinsi mlipuko wa corona unavyochochea chuki dhidi ya Waislamu India

Iliyochapishwa

Kwa miongo kadhaa, kumekuwa na chuki za kidini baina ya Wahindu na Waislamu nchini India. Hivi karibuni, chuki dhidi ya Waislamu zimeibuka tena kwa kasi nchini humo kutokana na kongamano moja la kidini la Waislamu kulaumiwa kusababisha maambukizi ya watu wengi nchii humo. Lakini taarifa ghushi pia zimechangia chuki hizo, tazama video kwa taarifa zaidi...