Watu wakimbia mafuriko mashariki mwa DRC
Iliyochapishwa
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha eneo la kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesababisha mafuriko yaliyowaua makumi ya watu mjini wa Uvira.
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha eneo la kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesababisha mafuriko yaliyowaua makumi ya watu mjini wa Uvira.