Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama Esther wahofia
Iliyochapishwa
Visa vya ugonjwa wa corona vimefika 25 nchini Kenya na wengi wanahofia
kuwa huenda kukawa na lockdown ilikupunguza kuenea kwa virusi hivyo. Hatahivyo, huku serikali ikiweka mikakati kupunguza visa hivyo, wengi wanaoathirika ni wafanyakazi wa kiwango cha chini. Yaya kwa jina Esther anayesema kuwa kazi hazipatikani kutokana na hofu walionayo Wakenya wengi juu ya coronavirus.