Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi
Iliyochapishwa
Zitto Kabwe ambaye amerejea nchini baada ya kumaliza ziara yake katika mataifa mbalimbali ikiwemo Marekani na Uingereza, amezungumza na BBC kuhusu shutuma dhidi yake baada ya kuiandikia barua Benki ya Dunia kusitisha mkopo wa elimu kwa Tanzania.