Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia

Iliyochapishwa

Shambulio hilo la kigaidi baya zaidi kuwahi kutokea nchini Indonesia liligharimu maisha ya zaidi ya watu 200.

Garil anapata fursa ya kukutana na muuaji wa baba yake ambaye sasa anatumikia kifungo cha maisha gerezani.