Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Abdel Aziz Nasser: Kwa nini raia wa Iraq hawaogopi kumpasha habari polisi huyu
Iliyochapishwa
Idhaa ya BBC Arabic ilifanikiwa kuzungumza na maafisa wa polisi wa mjini Baghdad kabla ya maandamano yanayoendelea.
Kutana na Meja Abdel Aziz Nasser- mtu anayefuata sheria ambaye anajaribu kuimarisha sifa ya polisi kufuatia ghasia na mapigano.