Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ung'oaji meno wa jadi umekuwa zoezi la kawaida miongoni mwa jamii fulani barani Afrika.
Iliyochapishwa
Wafugaji wengi wanaoishi katika maeneo yenye ukame na yale ya kawaida Afrika Mashariki hufanya zoezi hilo la kuwang'oa watoto wachanga meno ya awali kabisa pale tu yanapoota wakiamini yanaleta maradhi
Ni jambo la kawaida kabisa kumuona mtu ambaye si daktari wala tabibu aking'oa watoto wachanga meno miongoni mwa jamii za Masai na Turkana nchini Kenya
Mwandishi wa BBC Mercy Juma alitembelea eneo hilo