Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamke anayetumia mieleka kuwakabili wabakaji DRC
Katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mieleka imemsaidia mwanamke mmoja kujikinga dhidi ya wabakaji katika barabara za mji huo alikokulia kama mpiganaji,
Shaki amewavutia watoto wengi wa kurandaranda mitaani na nyumbani kwake kumekuwa kimbilio kwa wasichana wanaojaribu kijikinga dhidi ya majambazi, wabakaji na magawadi wa mitaa ya mabanda ya Kinshasa.
BBC Afrika Eye imemfuatlia Shaki akijaribu kujifunza mieleka na kupigana ili aweze kumtunza binti yake na kuwapa mafunzo wanawake wengine wenye mtazamo tofauti jinsi ya kuwatunza wasichana