Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Simba watahamishwa kutoka eneo hilo kutokana na mashambulizi dhidi ya binadamu na mifugo
Iliyochapishwa
Simba 11 kati ya hao 36 wameshakamatwa na watapelekwa katika mbuga ya wanyama iliyoko kilomita 650 mbali na hiyo ya Serengeti. Lakini kuhamishwa kwa simba hao kutakuwa na athari gani kwao?
Caro Robi alizungumza na Profesa Noah Sitati mtaalamu wa wanyama pori nchini Tanzania wa shirika la kimataifa la Kuwalinda wanyama pori WWF kufahamu zaidi kwanini simba hao wanahamishwa.