Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Iran ina utajiri wa sanaa na majengo ya kale
Iliyochapishwa
Rais Donald Trump amekosolewa vikali kufuatia kauli aliyotoa ya kushambulia maeneo 52 ya torathi za kitaifa Iran kujibu shambulio la nchi hiyo dhidi ya Marekani.
Raia wa Iran kwa upande wao wanajaribu kuelewa alichomaanisha Trump alipotishia kuyashambulia maeneo ya torathi za kitaifa. Lakini je shambulio hilo ni uhalifu wa kivita?