Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Lastesis: Densi inayopinga dhulma za kijinsia Chile
Iliyochapishwa
Kufikia sasa mwaka huu, takriban wanawake 41, wameuawa nchini Chile, kulingana na takwimu za serikali.
Kanda ya video inayoonyesha Lastesis, kundi la wanawake linalohamasisha dhulma dhidi ya Jinsia katika mji mkuu wa Santiago imesambaa katika eneo hilo la Wahispania.
Wakati wa densi yao kundi hilo linashutumu taifa hilo kwa kuruhusu ghasia dhidi ya wanawake kushamiri.