Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Awali upimaji ulikuwa lazima ufanyike vituo vya afya
Iliyochapishwa
Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa mabadiliko ya sheria itakayomwezesha mtu kujipima mwenyewe virusi vya ukimwi na pia kushusha umri wa vijana kuweza kupima virusi vya ukimwi bila ya ridhaa ya mzazi, hadi kufikia miaka 15.