Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Raisi Magufuli chupuchupu apoteze uhai kutokana na bidii ya kazi
Iliyochapishwa
Rais John Magufuli amesema utendaji wake wa kazi ulisababisha anyweshwe sumu na ilibaki kidogo apoteze maisha.Magufuli ametoa kauli hiyo katika uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa kiitwacho 'Maisha yangu, kusudio langu'.