Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ndoa za Mapema Marufuku Tanzania, je uamuzi huu una maana gani?
Iliyochapishwa
Afisa mtendaji wa Shirika la Wasichana Initiative Rebecca Byumi aliyewasilisha kesi kupinga sheria ya ndoa za mapema kwa wasichana nchini Tanzania anasema uamuzi huu ni ushindi kwa wasichana wa nchi hiyo