Wakristo wa Jumuiya ya Walei DRC waandamana kupinga ufisadi

Maelezo ya video, Wakatoliki waandamana DRC kupinga ufisadi
Iliyochapishwa

Wakristo wa Jumuiya ya Walei DRC wameandamana kupinga ufisadi na kudorora kwa mfumo wa sheria uliokithiri nchini humo