Ndege yaanguka katika uwanja wa Wilson Nairobi Kenya

Maelezo ya video, Ndege yaanguka katika uwanja wa Wilson Nairobi Kenya
Iliyochapishwa

Ndege moja inayoendeshwa na kampuni ya Silverstone Air imeanguka katika uwanja wa ndege wa Wilson katika mji mkuu wa Nairobi nchini Kenya.

Walioshuhudia wanasema kwamba ndege hiyo ilipoteza mwelekeo wakati ilipokuwa ikipaa kuelekea Mombasa Ijumaa Alfajiri.