Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ajuza wa miaka 80 anayetumia lugha ya mtaani kuvutia wateja Tanzania
Iliyochapishwa
Wiki ya kwanza ya mwezi October ya kila Mwaka hujulikana kama juma la Huduma kwa wateja.
Wafanyabiashara mbalimbali na hata makumpuni makubwa hutumia siku hizi kuwa karibu zaidi na wateja wao na hata kuwapatia zawadi ili kuzidi kuwavuta kupata bidhaa ama huduma wanazotoa
Lakini umewahi kujiuliza ni kwa namna gani Lugha inavyoweza kumvuta ama kumfukuza kabisa Mteja?
Kutana na ajuza wa Miaka 80 anayetumia Lugha ya mtaani kuvuta wateja kwenye biashara yake
Yeye hufanya nini hasa? Alizungumza na mwandishi wa BBC Scolar Kisanga.