Makoye Philbert au Makjuice_tz anafanya vizuri katika biashara ya kuuza sharubati

Iliyochapishwa

Je Makoye alifanya mbinu gani hata akafanikiwa katika biashara ya kuuza sharubati? Mtaji wa dola 3 za kimarekani umemfanya apate mafanikio makubwa kwenye biashara yake ambayo imekuwa maarufu sana Tanzania.