Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ajali Morogoro: Miili ya waliofariki yawasili ili kuagwa shule ya upili ya Morogoro
Iliyochapishwa
Takriban watu 69 wamedaiwa kufariki kufuatia ajali hiyo iliosababishwa na mlipuko wa lori la mafuta mjini Morogoro Tanzania. Polisi wanasema watu hao walikuwa wakichota mafuta baada ya lori hilo kupinduka katika bara bara kuu mapema Jumamosi wakati ajali hiyo ilipotokea.