Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Zitto ahoji polisi kuzuia kongamano la Maalim Seif
Iliyochapishwa
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amelaani hatua ya polisi kuzuia kongamano lililoandaliwa na kamati ya maridhiano Zanzibarla chama hicho licha ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Thobias Sedeyoka akisema polisi hawajavunja kongamano. Mbunge huyo wa Kigoma Mjini amesema kuvunjwa kwa kongamano hilo na polisi kumtaka Maalim Seif kuondoka ukumbini ni kinyume na sheria na taratibu. Lakini ni nini hasa kilichofanyika? Bw. Zitto amezungumza na Mwandishi wa BBC Caro Robi