Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
BBC yazungumza na mwandishi aliyechapisha filamu ya ufisadi katika soka nchini Ghana
Iliyochapishwa
Mwaka wa 2018, kipindi cha taarifa za uchunguzi cha BBC - kilichapisha filamu ya uchunguzi BBC Africa Eye kuhusu ufisadi uliogubika soka uliochukua miaka miwili kuandaliwa. Filamu hiyo ilionyesha zaidi ya maafisa wakuu 100 wa soka Magharibi mwa Afrika na Kenya wakichukua rushwa. Mwaka mmoja baadaye, BBC imezungumza na Anas Aremeyaw Anas mwanahabari mwenye utata nchini Ghana aliyechapisha filamu hiyo ili kubaini nini kilifuata?