Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Huduma hiyo sasa inatolewa katika hospitali tatu nchini humo
Iliyochapishwa
Rwanda imeanzisha Maabara kubwa na ya kisasa ambayo inatumia teknolojia ya kutungisha mimba. Serikali ya Rwanda imesema kwamba tangu kuanzishwa mpango huo wa kusaidia waliokosa uzazi,gharama na idadi ya wanaokwenda kujaribu kupata uzazi katika nchi zilizoendelea imepungua, Rwanda sasa ina hospitali tatu zinazoweza kutoa huduma hiyo.