Jahalia Ngonde: Najuta kujichubua ngozi yangu nzuri ya Kitanzania

Iliyochapishwa

Mfawidhi wa sherehe Jahalia Ngonde ni mwanamke wa Kitanzania ambaye aliamua kujichubua ngozi awe mweupe.

Anasema hali kwamba baadhi ya wanaume nchini Tanzania huwapenda wanawake wenye ngozi nyeupe ndiyo iliyochangia kumfanya ajichubue ngozi awe kama Mzungu bandia.

Lakini sasa anajutia uamuzi huo.

Unaweza kusoma pia: