Sam Ikwae: Afuga kuku wenye thamani kama kivutio Mombasa Kenya
Iliyochapishwa
Sam Ikwae kutoka Mombasa Kenya ameanzisha mradi anaouita 'kuku vipenzi' wa kuwafuga ndege wakiwemo kuku kutokana na umaridadi wao wenye thamani ya hadi $700.
Mpiga picha: Anthony Irungu
Ripota: Abdalla Seif Dzungu

