Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Madereva wa Uber na Taxify wagoma Kenya
Iliyochapishwa
Madereva wa teksi za kuagizwa kwa kutumia mtandao, Uber na Taxify, nchini Kenya wamegoma wakitaka marekebisho katika sheria zinazosimamia biashara hiyo.
Wanaitaka serikali iwazingatie kama watoaji huduma ya uchukuzi na si kama kampuni zinazotoa huduma za kiteknolojia.
Mwandishi wa BBC Larry Madowo anatuarifu zaidi.